Prof. Alexandra Makulilo, ambaye ni Mwenyekiti wa Kigoda cha Uprofesa cha Mwalimu Nyerere Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), akiwa na Bw. David Kafulila, Mkurugenzi wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP Centre), kwenye Kongamano la kujadili mwenendo wa uchumi chini ya Awamu ya Sita.
Barabara ya Buyuni – Chamazi kilometa 3.6 (Sh. bilioni 6.4)Chini ya Uongozi bora wa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika Jiji la Dar es Salaam imejenga na kukarabati kipande cha...
Kongamano kubwa la kitaifa kuhusu Uchumi Jumuishi Tanzania linatarajiwa kufanyika tarehe 18 Septemba 2025 katika Ukumbi wa Nkrumah, Ndaki ya Mbeya, likiwa na kaulimbiu...