Wednesday, November 5, 2025

Economics

Prof. Alexandra Makulilo, ambaye ni Mwenyekiti wa Kigoda cha Uprofesa cha Mwalimu Nyerere Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), akiwa na Bw. David Kafulila, Mkurugenzi wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP Centre), kwenye Kongamano la kujadili mwenendo wa uchumi chini ya Awamu ya Sita.
Barabara ya Buyuni – Chamazi kilometa 3.6 (Sh. bilioni 6.4)Chini ya Uongozi bora wa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika Jiji la Dar es Salaam imejenga na kukarabati kipande cha...

RAIS SAMIA KUTUMIA BIL100 UJENZI DARAJA JANGWANI.

Daraja kubwa la Jangwani Bridge lenye urefu wa mita 390, Barabara mita 700 kujengwa kwa Sh.97.1bnChini ya Rais Samia Suluhu Hassan, ujenzi wa Jangwani...

BRT: RAIS SAMIA AMETUMIA BIL 285.1 KUPELEKA MWENDOKASI MBAGALA

BRT PHASE 2 – Gerezani/Kivukoni hadi Mbagala Rangi Tatukupitia Kilwa, Kawawa, Bandari & Sokoine km 20.3 (Sh. bilioni285.1)Chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, Serikali...

MIL 17 KUNUFAIKA NA MATITABU BURE YA RAIS SAMIA ENDAPO WATAMPIGIA KURA OKTOBA 29.

Katika ahadi zake ndani ya siku 100, Serikali ya Jamhuri ya Muungano waTanzania, chini ya uongozi wa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan,imependekeza mpango wa...

TUMENUNUA DRONE 5 KUPAMBANA NA WADUDU WAHARIBIFU WA MAZAO-DKT SAMIA

AKIWA KATA YA NAKAPANYA WILAYA YA TUNDURU MKOA WA RUVUMA Kwanza, Dkt Samia alizungumzia pia kuhusu huduma Za Kijamii Dkt. Samia Suluhu Hassan amehutubia wananchi...

DKT SAMIA KUIJENGA BARABARA YA MNIVATA-NEWALA KM 100 KWA KIWANGO CHA LAMI

Akiwa katika mwendelezo wa kampeni zake mkoani Mtwara Mgombea Urais kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan ameeleza...

DKT SAMIA AKUMBUSHIA AHADI YA HEKTA MIL 6 ZA MALISHO YA MIFUGO ENDAPO ATASHINDA

Akiwa Wilayani Nanyumbu, Dkt. Samia amewaahidi wananchi kuendelea kuboresha barabara za lami ndani ya mji wa Mangaka na zile zinazounganisha wilaya na mkoa ikiwa...

DKT. SAMIA KUJENGA SOKO LA KISASA LA MANZESE SONGEA ENDAPO WATAMCHAGUA.

CCM kupitia mgombea wa kiti cha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imewaahidi wananchi katika wilaya ya Songea endapo watakipa ridhaa tena chama cha Mapinduzi...

SASA DKT. SAMIA KUIFUNGUA SONGEA KIUCHUMI ENDAPO ATASHINDA

Mgombea wa urais kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewaahidi wananchi wa Songea kuwa endapo atachaguliwa kwenye uchaguzi mkuu ujao ataifungua Ruvuma kimawasiliano na...

DKT. SAMIA KUWANUFAISHA WAKULIMA NAMTUMBO ENDAPO ATACHAGULIWA. 

 Mgombea kiti cha urais kupitia CCM amewaomba wakulima  wa wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma kuwachagua wagombea wanaotokana na CCM akiwemo yeye katika nafasi ya...

SASA HUDUMA ZA KIBINGWA KUPATIKANA RUVUMA – DKT. SAMIA

Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewaomba wananchi wa wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma wamchague...

DKT. SAMIA AAHIDI NEEMA KWA WAKULIMA TUNDURU ENDAPO ATASHINDA.

Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewahakikishia wananchi wa wilaya ya Tunduru kuwa serikali yake iwapo...

DKT FRED MSEMWA: MAONO LAZIMA YAWE YA KUKUTISHA KAMA TAIFA TUMEMUA KUWA NA NDOTO KUBWA.

Mbeya || Akizungumza katika Kongamano lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kupitia Kigoda cha Uprofesa cha Mwalimu J.K. Nyerere katika Taaluma za...

Recent articles

spot_img